Waziri Nape aliunda Tume ya uchunguzi ya watu watano wakiongozwa na Mkurugenzi wa Habari Maelezo na kutoa saa 24 kwa tume hiyo kuzungumza na Makonda na watu wake kisha leo March 21 iwasilishwe.
Baasa ya kuona anapigiwa simu nyingi za kuhoji hatua iliyofikiwa hadi sasa Waziri Nape ametoa majibu kupitia Account yake ya Twitter na kusema
’Kuna simu nyingi juu ya ripoti. Nawaomba tutulie Kamati wanamalizia kazi yao, ikikamilika tutataarifiwa muda na mahali nitakapokabidhiwa!‘
from Blogger http://ift.tt/2nw4p1q
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2nhYMUc
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2mQhMpN
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2o0gFUB
via IFTTT