Sasa kingine kilichoripotiwa ni kutokea kwenye gereza la Franco da Rocha ambapo Njiwa amekamatwa na Askari akipeleka simu ya mkononi kwa mfungwa ambapo bado haijafahamika aliyekuwa akimtumia Ndege huyo kupeleka simu.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza lakini hayajajibiwa…. Njiwa huyo alielekezwa vipi? akili gani imetumika kumuongoza? alikua anatumia njia gani kuikabidhi simu?
CHEKA KIDOGO NA HUYU JAMA ASIEJUA KUCHEZA KWAITO
from Blogger http://ift.tt/2m2oZ5n
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2kR044l
via IFTTT