Umeipata Hii ya Mwimbaji Barnaba Kumfumania Mkewe na Mwanaume Mwingine?

Mke wa Barnaba Akiwa na Bwana Mwigine 
Jana February 15 2017 kupitia XXL ya clouds FM, Soudy Bwown ametuletea U Heard inayohusu mwimbaji staa wa Bongofleva Barnaba kudaiwa kuachana na mke wake.
Kwa mujibu Soudy Brown inadaiwa Barnaba amefikia hatua ya kuachana na mke wake baada ya kumfumania mke wake hivyo ikabidi ahame nyumbani na kutafuta sehemu nyingine. Soudy Brown kapiga stori na msanii wa Bongofleva kumuuliza kuhusu taarifa hizo za rafiki yake Barnaba.
‘Mimi nakaa karibu na Barnaba, taarifa hizo ningekuwa nimeshazisikia kwa hiyo ngoja nizifuatilie’ – Amini

http://ift.tt/2kssSUH

from Blogger http://ift.tt/2lNYMLO
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2lmDa8j
via IFTTT

Related Posts