Tanzania ni nchi ambayo imekuwa nyuma sana kiteknolojia, sio viwanda vya kutengeneza hata pipi, toothpick nk vimekuwa ni adimu na vitu vingi tunavyotumia vimekuwa vikiagizwa nje ya nchi… Kama hilo halitoshi, vijana wanaoonyesha jitihada za kubuni vitu mbalimbali vya kiteknolojia wamekuwa hawapewi sapoti inayostahili…. Mfano ni kijana huyu aishiye mwanza wilaya ya Kwimba, Ameweza kutengeneza Gari kwa kutumia vifaa vya baiskeli na linatembea barabarani. Tazama Video Hapa chini
from Blogger http://ift.tt/2kDEiFb
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2me92c3
via IFTTT