Aliyekuwa Mume wa Zamani wa Zari Hassan Azidiwa na Pesa Aamua Kuzigawa Mtaani


Mume wa zamani wa Mrembo Zari Hassan Anayeitwa Ivan Amenaswa Mtaani akigawa Pesa kwa watu wasiojiweza huko nchini Uganda….Inasemekana jamaa huyu anamkwaja wa kutosha mpaka hajui pa kuupeleka kiasi ambacho ameamua kuzigawa barabarani…
Tazama Video Hapa:

from Blogger http://ift.tt/2lNRQOy
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2lmtcDN
via IFTTT

Related Posts