Utabiri wa hali ya hewa kwa tarehe 24 kuanzia usiku wa tarehe 23 saa tatu usiku

WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735.email:met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE: 23/05/2016.

 [Mikoa ya Kagera na Mara]:


Hali ya Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.



[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
[Mikoa ya Pwani na Dar Es Salaam]:
[Mkoa wa Tanga na Visiwa vya Unguja na Pemba]:


Hali ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.



[Mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, Tabora, Singida na Dodoma]:
[Mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Njombe na Iringa]:
[Mikoa ya Simiyu, Mwanza, Geita na Shinyanga]:


Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua.


VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto

Kiwango cha chini cha joto

Mawio (Saa)

Machweo (Saa)

ARUSHA
23°C
16°C
12:32
12:28
D'SALAAM
30°C
23°C
12:27
12:11
DODOMA
28°C
17°C
12:40
12:26
KIGOMA           
30°C
18°C
01:02
12:52
MBEYA
21°C
10°C
12:53
12:31
IRINGA
25°C
14°C
12:42
12:24
MWANZA
30°C
18°C
12:45
12:43
TABORA
29°C
13°C
12:50
12:40
TANGA
31°C
23°C
12:25
12:15
ZANZIBAR
30°C
25°C
12:27
12:11

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40 kwa saa kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini; na kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi; Makubwa kiasi hadi Makubwa.

Matazamio kwa siku ya Jumatano: 25/05/2016: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 23/05/2016.


Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.