ZEC yaendesha semina kwa watendaji wa vituo vya ugawaji wa shahada za kupigia kura



DSC03427
Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Magharib Ndg Ali Rashid Suluhu akiwasilisha mada katika mafunzo ya watendaji wa vituo vya Ugawaji wa Shahada za kupigia Kura, mafunzo ambayo yalifanyika ukumbi wa Skuli ya Mwanakwerekwe ”C” tarehe 26/09/2015
DSC03433
Washiriki wa semina ya watendaji katika vituo vya Ugawaji shahada za kupigia Kura wakimsikiliza kwa makini Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Magharib Ndg Ali Rashidi Suluhu wakati akiwasilisha mada katika mafunzo hayo ambayo yalifanyika ukumbin wa skuli ya Mwanakwerekwe ”C” tarehe 26/09/2015. Mafunzo kama hayo yalifanyika kwa wilaya zote za Unguja na Pemba.