WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 09/09/2015.
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaama,
Pwani na Tanga]
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Ruvuma, Katavi,
Mbeya, Iringa, Njombe na Rukwa]:
[Mikoa ya Mwanza,
Shinyanga, na Geita]:
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara
na Lindi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
27°C
|
15°C
|
12:33
|
12:35
|
D'SALAAM
|
29°C
|
21°C
|
12:24
|
12:22
|
DODOMA
|
30°C
|
15°C
|
12:38
|
12:36
|
KIGOMA
|
31°C
|
21°C
|
01:02
|
01:00
|
MBEYA
|
27°C
|
10°C
|
12:49
|
12:43
|
IRINGA
|
29°C
|
12°C
|
12:39
|
12:35
|
MWANZA
|
29°C
|
20°C
|
12:47
|
12:49
|
TABORA
|
34°C
|
19°C
|
12:50
|
12:48
|
TANGA |
29°C
|
23°C
|
12:25
|
12:23
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
22°C
|
12:24
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki
kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
11/09/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 09/09/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.