MH. LOWASSA AONGEZEWE ULINZI KUMLINDA NA KILA UOVU NA HILA AMBAO UTAPELEKEA ASITIMIZE LENGO LAKE.


Mh. Laigwanan Edward Ngoyai Moringe Lowassa anastahili ulinzi wa ziada ili kumlinda na wabaya wake kwani hawakawii kumfanyia kitendo cha kigaidi ili kutotimiza lengo lake la kuchukua nchi kutoka chama Tawala...

Ulinzi madhubuti na makini unatakiwa kutolewa na wana UKAWA na kila mtanzania mpenda maendeleo kwa kuwa Edo ndiye tumaini pekee kwa watanzania kujikomboa kutoka utumwa wa CCM.

Nitoe rai kwa uongozi wa UKAWA kumpa ulinzi wa ziada kiongozi huyu wa kitaifa na kimataifa ili kumlinda na kila uovu na hila
Lowassa ndiye mboni pekee inayowapa nuru watanzania itakayowaangazia na hatimaye kuwawezesha kutoka msitu wa giza nene.