Kwa ufupi; Halumashauri ya mji Mpanda yaongeza siku uandaishaji BVR

Halmashauri ya mji Mpanda Mkoani Katavi imeongeza siku katika zoezi la uandikishwaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kata zilizoanza zoezi hilo mapema wiki jana mkoani humo. Zoezi linalo kosolewa vikali na wananchi kutokana na kasoro za wazi pamoja na kushindwa kudhibiti wimbi la kujiandikisha kiholela. BY Alinanuswe on fb