Halmashauri ya mji Mpanda Mkoani Katavi imeongeza siku katika zoezi la uandikishwaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kata zilizoanza zoezi hilo mapema wiki jana mkoani humo. Zoezi linalo kosolewa vikali na wananchi kutokana na kasoro za wazi pamoja na kushindwa kudhibiti wimbi la kujiandikisha kiholela. BY Alinanuswe on fb
Habari Online na Elimtaa
#Elimtaa
Kutoka mitandaoni
YALIYOJIRI HIVIKARIBUNI NYANDA ZA JU KUSINI 2
Kwa ufupi; Halumashauri ya mji Mpanda yaongeza siku uandaishaji BVR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)