MAHENGE
& FAMILY CO. LTD
INAYO JISHUGHULISHA NA UPANDAJI WA MITI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA.

Inawakumbusha:
WANANCHI wote
wanatakiwa Kutochoma moto hovyo,
Walio
na misitu wanakumbushwa kuzungusha barabara kuzuia moto kwenye misitu (Fire Line)
Kuchoma moto kunaweza kuleta hasara kubwa sana ambayo haikutarajiwa kutokea.
Hasala
inayo weza kutokea kutokana na kuchoma misitu ni kuteketea kwa misitu ambayo
inakaribia kuvunwa na midogo itateketea pamoja na viumbe hai vingine.
Kwa
sababu tunaelekea katika msimu wa jua kali na nyasi kukauka moto umekuwa
ukiathili zaidi misitu yetu.
Hivyo
haipaswi kuchoma moto hovyo msimu huu wa kiangazi
hivyo tunapaswa wananchi wote kutochoma moto hovyo ambao hauna sababu ya msingi na haijulikani ukiwaka
utaishia wapi.
Picha
hapo juu ni moja ya madhara ya uchomaji miti
"IMETOLEWA" NA
MAHENGE
& FAMILY CO.LTD : TUNAOMBA MSAADA WAKO KWANI TUMEKUWA TUKIFANYA KAZI YA
Utoaji wa elimu kwa umma huko vijijini kwa kujitolea
MAWASILIANO YETU NI: SIMU +255 787 081 514, +255 753 355 277,
MAWASILIANO YETU NI: SIMU +255 787 081 514, +255 753 355 277,
Email: mahengefamilycoltd@gmail.com
P.O.Box 1966, Mbeya-Tanzania
TUNAPATIKANA UYOLE, MBEYA, TANZANIA
