Polisi Kenya Watoa Angalizo kwa Wananchi, ni Kufuatia Taarifa za Ujasusi…!!!

Vikosi vya Usalama nchini Kenya viko katika hali ya ulinzi mkali na tahadhari baada ya kupokea taarifa za ujasusi kwamba wanamgambo wamekuwa wakipanga mashambulizi ya kigaidi wakati au baada ya sikukuu ya Pasaka.
Hayo yamethibitishwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, George Kinoti ambapo ameeleza kuwa wamepokea taarifa za ujasusi zikieleza kuwa wanamgambo tisa wanapanga mashambulizi, hivyo tayari vikosi vya usalama vimejiimarisha na kuhakikisha kunakuwa na tahadhari ya juu kudhibiti mashambulizi yasitokee.
Jeshi hilo limetoa wito kwa wananchi wote kuwa waangalifu kwa hali ya juu kabla ya sikukuu ya Pasaka na kuripoti shughuli zote watakazozitiliwa shaka.

from Blogger http://ift.tt/2ohhLLp
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ohmgWg
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKehoH
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pm9Qyh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pmwtlZ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oBLKks
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oy7yfp
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oKPMb0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pjJsYC
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pjxRZt
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oCzu3e
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nPSRHr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pEqoR8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pEP9wI
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pkPMPF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ozVcU5
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMfWdj
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2plAYQy
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2plDTst
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2og9HeF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMv7TI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pFxJAb
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSjvzp
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2pqGoHk
via IFTTT