Msemaji wa Simba Aibeza Yanga Kwa Maneno Haya Baada ya Simba Kutoka Droo na Toto

Pamoja na Simba kupata sare ya bila kufungana dhidi ya Toto Africans, Msemaji wa Simba anaamini bado Simba ina nafasi ya kubeba ubingwa kwa kuwa iko kileleni kwa tofauti ya pointi sita.
Simba imefikisha pointi 62 na Yanga inafuatia ikiwa na pointi 56, hata hivyo Simba imecheza mechi 27 na Yanga ina pungufu miwili kwa kucheza 25.
Manara amesema: “Aliyenacho mkononi ni tofauti na anayesubiri kupata. Tuko kileleni kwa tofauti ya pointi sita, tusubiri kinachokuja. Ila niwaambie, nguvu za ubingwa ziko palepale.”

from Blogger http://ift.tt/2ppwVjm
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pFaW7k
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pFB8Pl
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSfydQ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pqw8id
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p8c3QR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oBHFLw
via IFTTT