Askari Aliyeuawa Aacha Mke Anayetarajia Kujifungua..!!!

.Ayoub Mwaikambo, askari aliyeuawa katika shambulio dhidi ya gari la Jeshi la Polisi wilayani Kibiti, ameacha mke ambaye anatarajiwa kujifungua mwezi mmoja ujao.
Hayo yamebainika katika hafla ya kuaga miili ya askari nane waliouawa katika shambulio lililotokea Alhamisi jioni, huku kukiwa na taarifa nyingine ya kushambuliwa kwa mapanga kwa mtoto wa mwenyekiti wa Kijiji cha Kitembo wilayani Kibiti ambako mauaji dhidi ya viongozi na askari yanazidi kuongezeka.
Mtoto huyo, Saidi Abdallah alijeruhiwa kwa mapanga baada ya kukataa kuwatajia watu waliovamia nyumba yao usiku wa kuamkia jana, sehemu aliyojificha baba yake ambaye ni mwenyekiti wa kijiji hicho.
Jana, wakati wa hafla ya kuaga miili ya askari hao iliyofanyika Kurasini Barracks, Francisco Mwaikambo, ambaye ni kaka wa askari huyo, alisema amempoteza mtu ambaye alikuwa akijadiliana naye mambo ya familia.
“Ah! Ayoub amekufa wakati nilikuwa nimepata mtu mwingine wa kujadiliana naye mambo ya familia baada ya kukua na kufahamu umuhimu wa familia,” alisema Francisco huku midomo ikimcheza mithili ya mtu anayejizuia kulia. “Amemuacha mtoto wake tumboni.”

from Blogger http://ift.tt/2p7wH3J
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pFw6lJ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSgdwc
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pqVLzE
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p8mB2l
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oBNF7b
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2okKUVQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oC0Epl
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oNZ2uF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oEWYF1
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2psn10G
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pHJl5J
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oFcGjq
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oFylrF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oOAL7S
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oDyLgs
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2oDoEIB
via IFTTT