Baraza la sanaa TanzaniaBASATAlimemfungia msanii wa bongofleva Shilole kutojihusisha na kazi yeyote ya mziki kwa mwaka mmoja kutokana na madai ya kuidhalilisha sanaa na Tanzania pale alipopanda jukwaani nchiniUbelgijina nguo yake kuachia na maziwa yake kuonekana.