Hope for Deprived Action in Deveropment (HDPAD) WFANYA BARAZA RA KATIBAKATIKA KAYA YA USONGWE HALMASHAURI YA MBEYA





 Afisa Mtendaji wa kata ya Usongwe halmashauri ya Mbeya, John Mwanapazi akifungua baraza la Katiba katika kata yake lililo andaliwa na Asasi Hope for Deprived Action in Deveropment (HDPAD) 

Mmoja wa washiriki katika baraza ra katiba, Yohanes Mligo akitoa maoni yake katika Rasimu ya Katiba Mpya  katika mkunano wa kutoa maoni kuhusiana na Rasimu hiyo. (Ficha na Furaha Eliab, Mbeya)

Mmoja wa wajumbe wa wananchi wajio shiriki katika baraza ra katiba lililoandaliwa na Asasi Hope for Deprived Action in Deveropment (HDPAD), akifafanua jambo katika baraza hilo jana, (Picha na Furaha Eliab, Mbeya)