MASWALI HAYA YANAWEZA KABISA KUTOA MAJIBU



PART II
KUHUSU KANUMBA KUNA MENGI YAMEZUKA KUWA ALIKUWA FREEMASON AU LA?
Mambo yafuatayo yanaweza kutusaidia kuamua bila maswali yoyote kuwa Steven Kanumba alikuwa Freemason ama la?
  1. Alama za Freemasons- Hapa ndio panaweza kutupa jibu kuwa Steven Kanumba au alikuwa kipenda kujiita Kanumba “THE GREAT”, alikuwa wa kipnda hicho ama la! 
  2. Mazishi ya wanachama wa Kundi la Freemasons huwa yanakuwaje?- pia hapa panweza kutufumbua macho kujua uhalisia wa Kanumba na Freemasons kwa kuyachunguza mazishi yake yalivyokwenda.
  3. Sanduku/Jeneza lililioubeba mwili wa Mwigizaji nguli wa Tanzania katika Bongo Movies Steven Kanumba- linaweza kutupa ushahidi wa kutosha bila chenga.